256 Wale Wanaoyathamini Maneno ya Mungu Wamebarikiwa
I
Walio tayari kukubali kuangaliwa na Mungu
ni wale wanaofuatilia maarifa ya Mungu.
Wao wako tayari kukubali maneno ya Mungu.
Watapata urithi na baraka za Mungu.
Hawa ndio ambao wamebarikiwa zaidi.
Mungu huwalaani wale ambao hawana nafasi kwa ajili Yake.
Anawaadibu na kuwaacha.







