Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumtumikia-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumtumikia-Mungu. Onyesha machapisho yote

4/14/2019

Nyimbo za kusifu | 235. Mmempa Mungu Nini Kama Malipo?

Nyimbo za kusifu,neema,kumtumikia Mungu,

Nyimbo za kusifu | 235. Mmempa Mungu Nini Kama Malipo?

I

Mungu amekuwa kati yenu

kwa majira kadhaa ya kupuputika na ya kuchipua.

Ameishi nanyi kwa muda mrefu.

Mbele Yake ni matendo yenu mangapi maovu yamenyiririka?

Maneno ya dhati mnayoyasema, yanarudisha mwangwi katika masikio ya Mungu.

Mamilioni ya matakwa yenu hayawezi kuhesabiwa,

juu ya madhabahu Yake yamewekelewa.

Na bado hakuna kujitolea, hakuna chembe ya uaminifu

Madhabahu yake mnayalalia.

4/08/2019

Nyimbo za kusifu | 239. Njia ya Lazima Kuogopa Mungu na Kujitenga na Maovu

Tenzi,Bwana asifiwe,Sifa na Ibada

Nyimbo za kusifu | 239. Njia ya Lazima Kuogopa Mungu na Kujitenga na Maovu

I
Kumwogopa Mungu hakumaanishi
hofu isiyo na jina, kuepuka, kuabudu kama mungu au ushirikina.
Badala yake, kumcha Mungu kunamaanisha
kustahi, kuamini, kuenzi, kuelewa, kutunza, kutii.
Ni kuweka wakfu, upendo, ibada kamili,
kurudisha fadhila, kujisalimisha bila malalamiko.

2/20/2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Hudumu kama Waisraeli Walivyofanya

Siku hizi watu wengi hawatilii maanani mafunzo yapi yanayopaswa kusomwa wakati wa upatano na wengine. Nimegundua kuwa wengi wenu hawawezi kujifunza mafunzo hata kidogo wakati wa ushirikiano na wengine. Wengi wenu mnashikilia maoni yenu mwenyewe, na wakati mnafanya kazi kanisani, unatoa maoni yako na yeye anatoa yake, moja uhusiano na mingine, bila kushirikiana kabisa. Mnajihusisha tu katika kutoa umaizi wenu wenyewe wa ndani, unaingia tu katika kuachilia huru “mizigo” ndani yenu, si kutafuta uzima hata kidogo.

1/22/2019

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | "Kuhusu Majina na Utambulisho" (Sehemu ya Kwanza)


Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | "Kuhusu Majina na Utambulisho" (Sehemu ya Kwanza)


  Mwenyezi Mungu anasema, "Yesu aliwakilisha Roho wa Mungu, na Alikuwa Roho wa Mungu Akifanya kazi moja kwa moja. Alifanya kazi ya enzi mpya, kazi ambayo hakuna aliyekuwa amefanya mbeleni. Yeye Alifungua njia mpya, Alimwakilisha Yehova, na Alimwakilisha Mungu Mwenyewe. Ilhali kwa Petro, Paulo na Daudi, bila kujali walichoitwa, waliwakilisha tu utambulisho wa kiumbe wa Mungu, ama walitumwa na Yesu na Yehova. Kwa hivyo bila kujali kiasi cha kazi walichofanya, bila kujali jinsi walivyofanya miujiza kubwa, walikuwa bado tu viumbe wa Mungu, na hawakuweza kuwakilisha Roho Mtakatifu. Walifanya kazi kwa jina la Mungu ama baada ya kutumwa na Mungu; zaidi ya hayo, walifanya kazi katika enzi iliyoanzishwa na Yesu ama Yehova, na kazi waliyoifanya haikutengwa. Walikuwa, hatimaye, viumbe wa Mungu tu."

1/07/2019

Umeme wa Mashariki | Kuhusu Majina na Utambulisho (Sehemu ya Kwanza)

 Mwenyezi Mungu alisema: Iwapo unataka kufaa kwa ajili ya matumizi na Mungu, lazima uijue kazi ya Mungu; lazima uijue kazi Aliyofanya awali (katika Agano Jipya na la Kale), na, zaidi ya hayo, lazima uijue kazi Yake ya leo. Ndiyo kusema, ni lazima uzitambue hatua tatu za kazi ya Mungu ya zaidi ya miaka 6,000. Ukiulizwa ueneze injili, basi hutaweza kufanya hivyo bila kuijua kazi ya Mungu. 

12/23/2017

Sura ya 30. Kumtumikia Mungu Mtu Anapaswa Kutembea Njia ya Petro

Sura ya 30. Kumtumikia Mungu Mtu Anapaswa Kutembea Njia ya Petro

Mwenyezi Mungu alisema, Watu wengi hawawezi kuainisha ni watu gani wana ukweli, watu gani hawana ukweli na watu gani husema mambo yaliyo na ukweli. Unapoulizwa kueleza ni nini maana ya "ukweli," huwezi kueleza kwa wazi. Lakini mara tu mtu anaposema kitu, unasema: “Mtazamo wake ni wa kweli. Maneno ayasemayo yanaonyesha ufahamu wa utendaji uliopatikana kupitia kwa uzoefu.” Unaelewa mara tu unapowasikia wakizungumza.