259 Usafishaji wa Mungu wa Mwanadamu Ni Wa Maana Zaidi
I
Akikabiliwa na mtazamo wa mwanadamu kwa Mungu,
Mungu amefanya kazi mpya, ili mwanadamu aweze kuwa na
maarifa na utiifu Kwake, upendo na ushuhuda Kwake.
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho.