Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Bwana-asifiwe. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Bwana-asifiwe. Onyesha machapisho yote

4/12/2019

Nyimbo za kusifu | 86. Yasifu Maisha Mapya

Tenzi,Bwana asifiwe,Sifa na Ibada

Nyimbo za kusifu | 86. Yasifu Maisha Mapya

Haleluya! Mwenyezi Mungu! Tunakushukuru na kukusifu!

Haleluya! Mwenyezi Mungu! Tunakuabudu Wewe milele!

I

Kristo ameonekana katika siku za mwisho. (Haleluya! Halleluya!)

Maneno Yake yanatuhukumu, kututakasa na kutuongoza. (Haleluya! Halleluya!)

Ameubadilisha moyo wangu kwa kile Anachosema, (Haleluya! Halleluya!)

na Amenipa maisha mapya ili nimsifu. (Haleluya! Halleluya!)

3/31/2019

Nyimbo za kusifu | 220. Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu

Tenzi,Bwana asifiwe,Muumba

Nyimbo za kusifu | 220. Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu

I

Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe wote

kuja chini ya utawala Wake, na kutii utawala Wake.

Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake.

II

Vitu hai, milima, mito na mwanadamu lazima vyote viwe chini ya utawala Wake.

Vitu katika anga na duniani lazima vyote vije chini ya utawala Wake.

3/30/2019

Nyimbo za kusifu | 219. Kiini cha Mungu Kimejaa Heshima

Tenzi,Bwana asifiwe,utukufu kwa Mungu

Nyimbo za kusifu | 219. Kiini cha Mungu Kimejaa Heshima

I

Sehemu ya kiini cha Mungu ni upendo, huruma Yake hufikia wote,

lakini watu husahau asili Yake ni heshima pia.

Kwamba Mungu ana upendo haimaanishi

Anaweza kukosewa bila hisia yoyote au athari.

Usitumie mawazo ya mwanadamu kumfafanua Mungu,

wala kulazimisha matakwa yako Kwake,

kumfanya Mungu atumie mawazo na mtindo wa mwanadamu

katika jinsi Anavyowatendea wanadamu, jinsi Anavyowatendea wanadamu.

3/28/2019

Nyimbo za kusifu | 164. Mamlaka ya Mungu ni ya Pekee

Tenzi,Bwana asifiwe,dutu ya Mungu

Nyimbo za kusifu | 164. Mamlaka ya Mungu ni ya Pekee

I

Mamlaka ya Mungu ni ya pekee; ni maneno Yake maalum na kiini,

ambayo hakuna viumbe wengine walio nayo, walioumbwa au wasioumbwa.

Muumba peke Yake ndiye aliye na mamlaka kama hayo, Mungu wa Pekee ana kiini hiki.

Mungu aliumba kila kitu, Yeye ana mamlaka juu ya vyote.

Yeye hadhibiti sayari fulani tu, si sehemu ya uumbaji au wanadamu tu.