4/10/2019

Nyimbo za kusifu | 221. Mamlaka ya Mungu ni Ishara ya Utambulisho Wake

Tenzi,Nyimbo za Sifa,maisha

Nyimbo za kusifu | 221. Mamlaka ya Mungu ni Ishara ya Utambulisho Wake

I

Mungu ni uzima, chanzo cha viumbe wote wanaoishi.

Mamlaka ya Mungu hufanya kila kitu kitii maneno Yake,

kije kuwepo kulingana na maneno Yake,

kiishi na kuzaa kwa amri ya Mungu.

Mungu huwaongoza viumbe wote waishio,

na hakutakuwa na kupotoka milele na milele.

Mamlaka ya Mungu yanaweza kuunda mambo ya aina yoyote

ambao yana uhai na nguvu.

Na hii inadhamiriwa na uzima wa Mungu.


II

Mamlaka haya, hakuna mtu wala kitu kinachoshikilia.

Muumba pekee ndiye aliye nayo.

Ni ishara ya utambulisho Wake wa pekee,

kiini, hadhi, na inaitwa mamlaka.

Mungu huwaongoza viumbe wote waishio,

na hakutakuwa na kupotoka milele na milele.

Mamlaka ya Mungu yanaweza kuunda mambo ya aina yoyote

ambao yana uhai na nguvu.

Na hii inadhamiriwa na uzima wa Mungu.

III

Kumbuka, mbali na Yeye, hakuna mtu au kitu

aliye na uhusiano na neno "mamlaka" au kiini chake.

Mungu huwaongoza viumbe wote waishio,

na hakutakuwa na kupotoka milele na milele.

Mamlaka ya Mungu yanaweza kuunda mambo ya aina yoyote

ambao yana uhai na nguvu.

Na hii inadhamiriwa na uzima wa Mungu.

kutoka katika "Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I" katika Neno Laonekana katika Mwili
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Soma Zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni