Mwenyezi Mungu alisema, Je, mna uzoefu wowote wa kuwa waaminifu? (Ni vigumu kuwa mwaminifu). Na mbona ni vigumu? (Ninapotafakari juu yangu kila siku, nagundua kuwa najua vyema kujifanya, na kwamba nimesema mengi ambayo si sahihi. Wakati mwingine, maneneo yangu yatakuwa na hisia na motisha, wakati mwingine, nitaunda ujanja fulani ili kutimiza malengo yangu, nikisema ukweli nusu ambao haulingani na mambo ya hakika; maneno mengine, pia, yatakuwa hayapasi kabisa, na ya kubuniwa.) Mambo haya ni upande mdanganyifu wa tabia potovu ya watu. Mbona watu hujihusisha na udanganyifu kama huu?
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho.
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kutafuta-njia-ya-mwanga. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kutafuta-njia-ya-mwanga. Onyesha machapisho yote
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)