11/16/2018

Katika Mapana na Marefu, Mwaminifu Hadi Kifo


Kutoka mbinguni hadi duniani, Akijificha katika mwili.
Akifanya kazi miongoni mwa wanadamu, katika upepo na mvua.
Ukachukua njia ngumu, ukafungua enzi mpya.
Kumkomboa mwanadamu, kutoa maisha Yako na kumwaga damu.
Upepo na mvua, miaka mingi sana. Kutelekezwa na kila mwanadamu.
Mnyenyekevu na Aliyejificha, Ukivumilia muda huo wote. Mnyenyekevu na Aliyejificha, Ukivumilia muda huo wote.

Kujitolea kwa ajili ya mapenzi Yako; haya ni matamanio yangu.
Ingawa mwili uko katika majaribu, dhamira yangu ina nguvu zaidi.
Kukupenda Wewe kwa nguvu zaidi; uchungu mtamu sana.
Macho kujawa na machozi, lakini maisha yangu yanang’aa sana.
Nimevunjwa na kupigwa muda baada ya muda, najali kuhusu mapenzi Yako hata zaidi.
Mwaminifu hadi kifo, katika mapana na marefu.
Mwaminifu hadi kifo, katika mapana na marefu.

Kupitia uchungu, kuonja ugumu.
Kuadibiwa na kupewa adabu, kufufuliwa kutoka kwenye kifo.
Chini ya ulinzi Wako tena, nakuabudu Wewe zaidi.
Nikifikiria kuhusu siku zilizopita, majuto makuu moyoni mwangu.
Nimevunjwa na kupigwa muda baada ya muda, najali kuhusu mapenzi Yako hata zaidi.
Mwaminifu hadi kifo, katika mapana na marefu.
Mwaminifu hadi kifo, katika mapana na marefu.

Nina mzigo mzito, sisiti tena.
Umbo dogo kama langu; shukrani kwa upendo Wako,
safari yangu hadi leo, nimepitia upendo Wako mkubwa.
Chungu na tamu, furaha na huzuni.
Nimevunjwa na kupigwa muda baada ya muda, najali kuhusu mapenzi Yako hata zaidi.
Mwaminifu hadi kifo, katika mapana na marefu.
Mwaminifu hadi kifo, katika mapana na marefu.

Weka huruma Yako, hurumia unyonge wangu.
Achilia hasira Yako, laani uasi wangu.
Umejaa huruma, ghadhabu ya ajabu.
Nimeona uadhama Wako, nimepitia busara Yako.
Nimevunjwa na kupigwa muda baada ya muda, najali kuhusu mapenzi Yako hata zaidi.
Mwaminifu hadi kifo, katika mapana na marefu.
Mwaminifu hadi kifo, katika mapana na marefu.

Niishi katika upendo Wako, nijitoe mwenyewe.
Usafishaji wenye uchungu, yote ni Wewe uliyopanga kabla.
Kufanywa kamili, timiza agizo Lako,
na utosheleze moyo Wako; ni maisha yangu.
Utamu na uchungu, mimeonja mengi. Ugumu unajaza maisha yangu.
Kuteseka ama uchungu, sitalalamika. Sitalalamika hadi mwisho wa maisha wangu.

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Kujua zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni