5/30/2018

Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu


Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kanisa



Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu

Upendo na huruma za Mungu
hupenyeza kazi Yake
ya usimamizi kwa utondoti.
I
Ikiwa mwanadamu ahisi mapenzi Yake ya huruma au la,
Yeye hachoki kufuatilia kazi Anayohitaji kufanya.
Ikiwa mwanadamu aelewa usimamizi Wake au la,
kazi Yake huleta usaidizi na utoaji unaoweza kuhisiwa na wote.
Upendo na huruma za Mungu
hupenyeza kazi Yake
ya usimamizi kwa utondoti.
II
Pengine leo huhisi upendo na uzima
Mungu anaokupa,
mradi tu huondoki katika upande Wake,
wala kuachilia mapenzi yako ya kutafuta ukweli,
hakika siku moja utaiona tabasamu ya Mungu.
Sababu kusudi la Mungu katika kazi Yake ya usimamizi ni kumpokonya mwanadamu
kutoka milki ya shetani na sio kuwaacha
waliopotoshwa na Shetani,
na kupinga mapenzi Yake.
Upendo na huruma za Mungu
hupenyeza kazi Yake
ya usimamizi kwa utondoti.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni